Ijumaa, 12 Juni 2015

/mr.gakson?ref=badge" class="ig-b- ig-b-v-24"><img src="//badges.instagram.com/static/images/ig-badge-view-24.png" alt="Instagram" /></a>

Jumamosi, 24 Januari 2015

Tehama shuleni; Dhamira njema iliyokosa mikakati wezeshi

Kwa ufupi. Pamoja na dhamira njema ya Serikali kutaka Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kutumika, mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji, imeshindwa kuandaa mazingira ya kuwezesha teknolojia hiyo kufanya kazi katika shule za msingi na sekondari hasa zile za umma.

Soma kisa hiki; Mgeni anakuja nchini na kutaka pamoja na mambo mengine kuwafundisha kompyuta watu wa jamii ya wafugaji ambao asili yao ni maisha ya kuhamahama porini.
Mkutano unaitishwa na mkataba wa makubaliano unawekwa kati yake na watendaji wa Serikali ili atoe elimu hiyo vijijini. Baada ya mkutano sote tunashangilia.
Hadithi hii inashabihiana na yanayotokea sasa katika sekta ya elimu nchini. Ilivyo ni kuwa baadhi ya mipango ya kielimu haina tija kwa kuwa haitekelezeki, japo dhamira yake ni nzuri.
Kama haitoshi mipango hiyo siyo kipaumbele muhimu kwa jamii licha ya ukweli kuwa imekuwa ikianzishwa kwa mbwembwe na ahadi lukuki.
Tehama shuleni
Kilele cha maono duni ya wale waliopewa jukumu la kusimamia elimu yetu, linajionyesha katika mipango iliyopo ya kutaka zana za kisasa za Tehama zitumike katika kufundishia na kujifunzia shuleni.
Mfano mzuri ni mpango wa hivi karibuni ambapo , Serikali kwa kushirikiana na kampuni za Vodacom na Samsung wameanzisha mpango wa kuziunganisha shule za sekondari nchini na mkongo wa mawasiliano wa taifa.
Hatua hiyo itatoa fursa kwa shule kutumia kompyuta zilizounganishwa na intaneti katika kufundishia na kujifunzia.
Hata hivyo, pamoja na dhamira hii njema, swali la msingi ni je, shule hizo zina miundombinu tayari kwa kuunganishwa na mkongo wa mawasiliano?
Kinachoshangaza ni kuwa mipango yote hii inabuniwa ilhali hakuna mikakati ya kuweka mazingira wezeshi shuleni, kama vile uwepo wa nishati ya umeme ambayo ni muhimu katika matumizi ya Tehama.
Kwa mujibu wa Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, hadi mwaka 2012 shule mbili za msingi na tano za sekondari (wasioona) ndizo zilizokuwa zimenufaika na mradi huo wa mawasiliano ya mkongo wa taifa kati ya maelfu ya shule zilizopo nchini.
Kwa mujibu wa Profesa Mbarawa shule za msingi zilizonufaika ni Buigiri (Dodoma) na Kizega (Singida). Shule za sekondari zilizonufaika mpango huo ni Ilula (Iringa), Mpwapwa (Dodoma), Ilowola (Njombe), Tumaini na Lulumba (Singida).



A bad practice To a women around the world.

we need to be awaken from the sleepy of lie, by thinking we save our relationships with our partners while we endanger our Health. 

Women around the world are carrying out a practice which not only leaves them in pain but at increased risk of HIV and other sexual transition Diseases (STD's). 

Women around the world are carrying out a practice of 'drying out' their vaginas to make sex more pleasurable for men - a practice which not only leaves them in pain but at increased risk of HIV.

'Dry sex' involves women reducing moisture in their vaginas in order to make intercourse more pleasurable for men, according to the Daily Mail report.

“Dry sex is known to be carried out in South and Central Africa, and Indonesia,” the report says. “It is borne out of a cultural belief that men find sex more pleasurable if a woman's vagina is dry, and that men will reject women whose vaginas have been ‘stretched out’ by sex.

“To achieve dryness, women insert, chalk, sand, pulverized rock, herbs, paper or sponges before sex, according to journalist Ms Wendy Syfret, who has reported on the practice in South Africa.

“They also douse their vaginas in detergents, antiseptics, alcohol and bleach. This can lead to cuts, sores and inflammation in the vagina, and increases the chance of a condom breaking.”

   

Profesa Sospeter Muhongo atangaza kijiuzuru kufuatia sakata la Tegeta-Escrow

 
HATIMAYE Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo leo ikiwa ni karibu mwezi mmoja tangu kuwepo kwa shinikizo la kumtaka ajiuzulu nafasi hiyo kutokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow.
Prof Muhongo ni miongoni mwa waliotajwa katika kashfa hiyo, lakini hakuchukuliwa hatua zozote na Rais Jakaya Kikwete wakati akilihutubia taifa, huku aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof Anna Tibaijuka akiondolewa kwenye nafasi yake kutokana na sakata hilo.
Maamuzi ya kuachia ngazi kwa Prof Muhongo yametolewa mbele ya wanahabari aliokutana nao asubuhi jijini Dar es Salaam.
Pamoja na kueleza mafanikio yake ndani na nje ya nchi kupitia wizara hiyo na kujitaja kama mtu msafi ambaye ana doa lolote, waziri huyo alitangaza kuachia ngazi kwa madai ya kutafakari kwa kina, ingawa kabla ya hapo alishawahi kunukuliwa kwamba asingejiuzulu ng'o.
Hata hivyo taarifa zaidi zinasema kuwa hatua hiyo imekuja baada ya shinikizo kubwa kutoka kwa wakubwa wake, ikizangatiwa heshima aliyonayo kama Profesa.
Kujiuzulu kwake kumekuwa wakati Katibu wake, Eliakim Maswi kutimuliwa kazini na Katibu Mkuu Kiongozi kutokana na sakata hilo, huku watendaji kadhaa umma wakiburuzwa mahakamani wakikabiliwa na kesi zinazohusiana na sakata hilo la Tegeta Escrow.



Jumanne, 20 Januari 2015


 

Mercedes-Benz reveals Future Truck 2025, the Optimus Prime of self-driving semis


Motoramic

Mercedes-Benz Future Truck 2025
.
View gallery

Mercedes-Benz Future Truck 2025
U.S. trucking firms have long complained that they have more jobs than drivers — about 30,000 more, according to the most recent figures from the American Trucking Association. And who can blame someone for choosing another profession, what with the weeks on the road away from family and the stress of just-in-time delivery schedules for the chance to earn an average of $50,000 a year.
Today, Mercedes-Benz revealed the full details of how it sees the trucks of the future making the drivers of today more of a profession than a trade — with an Optimus Prime-like rig that can drive itself while the "transport manager" types away in his luxury studio.
Mercedes had previously shown a camouflaged version of the Future Truck 2025 that highlighted its autonomous driving abilities with a full load up to 50 mph, an expanded version of what the company already offers to buyers of the new S-Class coupes and sedans. Wolfgang Bernhard, head of Mercedes' truck division, has said autonomous driving would be the future of trucking, but one that was still a decade away given higher technological and legal hurdles.

What Mercedes had not shown before was just how radical it imagined the look of the Future Truck to be. Start with the front, where there are no headlamps — the Future Truck uses fields of LEDs embedded across its fascia to light its path, which glow from underneath its skin. They don't just beam one color, but change colors from white to a shade of purple and pulse slowly to indicate a truck that's driving itself.
The radical rethink extends to the cabin, where Mercedes has tried to answer the question of what a truck driver will do if he or she doesn't have to drive for several hours. In place of the bank of controls in a modern semi, Mercedes has reduced most of the necessary info into a few screens, turning the cabin into a expanse of wood and leather like a high-end New York hotel room. The driver's seat swivels 45 degrees to the right, so that a driver can stretch out when controlling the truck through its iPad-like touchscreen. And there's a digital picture frame in back for remembering the family while on the road.
In that one flourish, Mercedes may be trying to assuage worries that Future Truck and similar projects will eliminate jobs rather than alter them, making truck driving more white collar, or like the ultimate telecommuter. "The profession of truck driver will become more attractive – autonomous driving is therefore also a compelling answer to the shortage of drivers," the company said today. "With autonomous driving, the truck and its driver become a team more than ever before, an intelligent, highly capable and cost-effective combination of man and machine." We may not know before 2025 whether Future Trucks will serve as a real-life Optimus Prime — or become an economic Decepticon for drivers.

Jumamosi, 6 Septemba 2014

NGUO ZA MITUMBA NI HATARI SANA HEBU ONA HAPO CHINI

Hao unaowaona kama weusi weusi kwenye ziwa hapo ni funza ambao wameform matobo matobo ambapo wanatoka nje sasa baada ya kukomaa ki ukweli tunatakiwa tuwe makini sana na nguo hizi za mitumba tunatakiwa tuzifue kwa maji ya moto ili kuua vimelea na madawa yaliyopuliziwa vinginevyo tutaumia sana na hii pia ni fundisho kwa wale wenye kuvaa nguo za ndani za mitumba pia bila kuzifua wadada na wakaka tuweni makini kwenye mavazi yetu ukiona ujumbe huu mtaarifu na mwenzio auone SHARE kwa manufaa ya wengine. Asanten

Alhamisi, 27 Februari 2014

SISI NA KATIBA MPYA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (kushoto), akizungumza na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda kabla ya kuanza kikao cha Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma jana. Picha:Selemani Mpochi.

 

Mwenyekiti Bunge la Katiba nguvu kwa Migiro,Chikawe


  Yadaiwa ni baada ya mambo kumemwendea vibaya Chenge
Waziri wa Katiba na Sheria,Dk. Asha-Rose Migiro.
Kampeni  za makundi ya vigogo wanaopigana vikumbo kugombea uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba zimechukua sura mpya, baada ya kundi lililokuwa likimuunga mkono Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge kudaiwa kubadili ghafla mwelekeo wa kampeni zake.

 Habari za kuaminika zilizopatikana mjini hapa jana zilieleza kuwa kundi hilo lililokuwa likimtaka Chenge, sasa linataka nafasi hiyo iwaniwe na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro au Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.

 Hatua hiyo inadaiwa kuchukuliwa na kundi hilo baada ya kubaini kuongezeka kila uchao kwa nguvu za Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ambaye tayari ameshatangaza kuwania nafasi hiyo, huku zile walizozitarajia kutoka kwa Chenge zikizidi kushuka.

 Habari hizo zinaeleza kuwa uthibitisho wa hilo, ni ujasiri ulioonyeshwa na Sitta aliyeamua kutangaza hadharani azma yake ya kuwania nafasi hiyo, huku Chenge akishindwa kuthibitisha kuwa atagombea ama la.

Uchaguzi wa mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba unatarajiwa kufanyika Jumapili wiki hii baada ya Bunge hilo kupitisha azimio la kuipitisha rasimu ya kanuni za Bunge Maalumu kesho.

Awali, Chenge aliiambia NIPASHE kuwa hayuko tayari kutangaza kama atagombea nafasi hiyo au la kwa kuwa kanuni za Bunge hilo bado hazijatungwa.

Kauli kama hiyo iliwahi pia kutolewa na Waziri Sitta katika siku hiyo hiyo, ambayo Chenge aliashiria kusubiri kanuni.

Hata hivyo, siku chache baadaye, hata kabla ya rasimu ya kanuni hizo haijapitishwa na Bunge, Waziri Sitta alitangaza azma yake ya kugombea nafasi hiyo kwa maelezo kwamba, anataka kutimiza ndoto ya Rais Jakaya Kikwete ya kupata katiba bora.

Jumatatu wiki hii, Chenge alipoulizwa na NIPASHE kuhusiana kinyang'anyiro hicho, alikataa kuzungumza na badala yake akamtaka mwandishi aendelee na shughuli zake.

Waziri Chikawe alipotafutwa na NIPASHE jana kuzungumza kama ana nia ya kugombea nafasi hiyo au la, alimtaka mwandishi kuvuta subira kwa kuwa wakati huo hakuwa na nafasi ya kuzungumza.

Dk. Migiro ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa (UN) hakupatikana
kuzungumzia suala hilo.

Jitihada za kuwatafuta viongozi hao wanaotajwa kuwania nafasi hiyo zinaendelea.
CHANZO: NIPASHE